Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ofisa wa UM kuonya, vita, vurugu na uhasama huumiza mamilioni ya raia duniani

Ofisa wa UM kuonya, vita, vurugu na uhasama huumiza mamilioni ya raia duniani

Naibu KM juu ya Masuala ya Kiutu, John Holmes aliwaambia wajumbe wa Baraza la Usalama Ijumanne kwamba fungu kubwa lenye kuathirika kihali na mali kunapojiri uhasama, vita na vurugu katika maeneo ya kimataifa ni mamilioni ya raia wasio hatia.