Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM imeripoti wasiwasi na mtukutiko wa waasi mipakani Chad/Sudan

UM imeripoti wasiwasi na mtukutiko wa waasi mipakani Chad/Sudan

UM wiki hii umepokea ripoti za kushtusha zilizoelezea kwamba makundi ya waasi yameonekana karibuni yakiingia na kutoka kwenye maeneo ya mipakani kati ya Chad/Sudan harakati ambazo zinabashiriwa huenda zikachochea mapigano mapya kwenye sehemu hizo za nchi.