Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

BINUB kulaani hujuma za waajiriwa wenyeji dhidi ya ofisi ya UM Burundi

BINUB kulaani hujuma za waajiriwa wenyeji dhidi ya ofisi ya UM Burundi

Ofisi ya UM Inayofungamanisha Huduma za Amani na Maendeleo Burundi (BINUB) imelaani vikali mashambulio yaliofanyika karibuni dhidi ya watumishi wake na kuendelezwa waajiriwa wenyeji waliokuwa wakitumikia shirika jengine la UM la ulinzi wa amani Burundi la ONUB, katika miaka ya 2004 hadi 2006.