Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya katiba kuisaidia Senegal kumshitaki Rais wa zamani wa Chad

Mabadiliko ya katiba kuisaidia Senegal kumshitaki Rais wa zamani wa Chad

Kamishna Mkuu wa UM juu ya Haki za Binadamu, Louise Arbour ameipongeza Senegal kwa kurekibisha katiba yanchi ili kuziwezesha mahakama kumshitaki aliyekuwa Raisi wa Chad Hissene Habre ambaye ametuhimiwa kutengua vibaya sana haki za binadamu wakati alipokuwa kiongozi wataifa hilo kati ya 1982 hadi 1990.