ILO: Mitizamo ya wafanyakazi imebadilika kimawazo kwa wagonjwa wa UKIMWI
Wiki hii Shirika la UM kuhusu Haki za Wafanyakazi wa Kimataifa (ILO) limetoa ripoti mpya inayoelezea kupatikana marekibisho ya kutia moyo duniani, kuhusu mitizamo ya wafanyakazi wa kimataifa kwa wenziwao waliopatwa na virusi vya UKIMWI.