Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Akiba ya chakula Kenya kuharibiwa na kivu, OCHA yaonya

Akiba ya chakula Kenya kuharibiwa na kivu, OCHA yaonya

Ofisi ya UM juu Misaada ya Dharura (OCHA) imeripoti kwamba Kenya inakabiliwa kwa sasa na matatizo ya chakula kwa sababu ya kuharibika kwa mavuno ya mpunga yalioambukizwa na wadudu wa kuvu. Elizabeth Brys, Msemaji wa OCHA katika Ofisi ya UM Geneva aliwabainishia waandishi habari Ijumaa asubuhi juu ya tatizo hili:~