Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Papa Benedict XVI azuru Makao Makuu ya UM

Papa Benedict XVI azuru Makao Makuu ya UM

Papa Benedict XVI leo asubuhi alizuru Makao Makuu ya UM ambapo alikutana na KM Ban Ki-moon pamoja, Raisi wa Baraza Kuu Srgjan Kerim na vile vile wafanyakazi wa UM waliopo mjini New York.