Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ulimwengu unahitajia msukumo mpya kufyeka ubaguzi, anasihi Arbour

Ulimwengu unahitajia msukumo mpya kufyeka ubaguzi, anasihi Arbour

Kamishna Mkuu wa UM juu ya Haki za Binadamu, Louise Arbour Ijumatatu mjini Geneva alihutubia moja ya mfululizo wa vikao kadha vinavyoandaliwa na ofisi yake kutayarisha mkutano mkuu wa mwakani utakaofanya mapitio kuhusu utekelezaji wa mapendekezo ya Mkutano wa Durban wa 2001 uliokusudiwa kukomesha tatizo la ubaguzi duniani. Arbour aliwaambia wataalamu waliohudhuria kikao cha matayarisho waliohudhuria kikao wa kufyeka ya ofisiyamtatu wakati akizungumzia juu ya matayarisho ya mkutano wa kufuatilia Mkutano wa Durban wa 2001 wa kufyeka ubaguzi duniani, ameshtumu kwamba tangu kikao kilipofanyika wingi wa Mataifa Wanachama yalishindwa kukamilisha mapendekezo ya kukomesha sera za ubaguzi wa rangi kwa sababu zifuatazo.~