Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkutano Mkuu wa XII wa UNCTAD kuanzishwa rasmi Accra

Mkutano Mkuu wa XII wa UNCTAD kuanzishwa rasmi Accra

Mkutano wa kumi na mbili wa Shirika la UM juu ya Maendeleo na Biashara (UNCTAD) ulifunguliwa rasmi Ijumapili kwenye mji wa Accra, Ghana ambapo wawakilishi 3,000 ziada kutoka serikali wanachama kadha wa kadha, pamoja na wale wanaowakilishia mashirika mbalimbali ya wafanyabiashara na jumuiya za kiraia walihudhuria mkutano.

Sikiliza ripoti kamili kwenye mtandao.