Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM kuyazuru mataifa ya Afrika Magharibi kutathminia huduma za amani na MDGs

KM kuyazuru mataifa ya Afrika Magharibi kutathminia huduma za amani na MDGs

Baada ya kuhudhuria Mkutano wa 12 wa Shirika la UM juu ya Maendeleo na Biashara (UNCTAD) unaofanyika Accra, Ghana, KM Ban Ki-moon aliendelea na ziara rasmi ya kutembelea mataifa ya Afrika ya Magharibi, ikijumuisha Liberia, Burkina Faso na Cote d\'Ivoire ambako anatarajiwa kutathminia huduma za amani pamoja na utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo ya Milenia kwenye maeneo hayo.