Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Utumiaji mabavu na vurugu la Zimbabwe kumshtusha Kamishna wa Haki za Binadamu

Utumiaji mabavu na vurugu la Zimbabwe kumshtusha Kamishna wa Haki za Binadamu

Ijumapili, Louise Arbour, Kamishna Mkuu wa UM juu ya Haki za Binadamu alitoa taarifa maalumu mjini Geneva iliyoelezea kushtushwa sana na ripoti aliyopokea kuhusu kuendelea kwa vitendo vya mabavu na hali ya vurugu katika Zimbabwe kufuatia uchaguzi wa karibuni.