Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tathmini ya Mjumbe wa Tanzania kuhusu kikao cha UNCTAD XII

Tathmini ya Mjumbe wa Tanzania kuhusu kikao cha UNCTAD XII

Taasisi ya UM juu ya Masuala ya Biashara na Maendeleo (UNCTAD) ilikutana Accra, Ghana kwenye kikao cha 12 kuzingatia matatizo ya uchumi maendeleo katika mataifa masikini yanayochochewa na utandawazi wa kihorera kwenye soko la kimataifa. Mkutano ulihudhuriwa na wajumbe karibu 4,000 waliowakilisha serikali, sekta za biashara na vile vile wawakilishi wa jumuiya za kiraia.

Sikiliza mahojiano kamili kwenye idhaa ya mtandao.