Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Maxwell Gaylard ameteuliwa kuwa Mshauri Mkuu wa UM juu ya Mashariki ya Kati

Maxwell Gaylard ameteuliwa kuwa Mshauri Mkuu wa UM juu ya Mashariki ya Kati

Maxwell Gaylard, wa Australia ameteuliwa na KM kuwa Naibu Mshauri Maalumu juu ya Masuala ya Mashariki ya Kati, hususan katika usimamizi wa zile shughuli zinazohusu maendeleo na ugawaji wa misaada ya kiutu kwenye maeneo yaliokaliwa kimabavu (OPT) na Israel ya Wafalastina.