Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ban Ki-moon apongeza juhudi za upatanishi za Kofi Annan Kenya

Ban Ki-moon apongeza juhudi za upatanishi za Kofi Annan Kenya

Ijumanne KM Ban Ki-moon alipokuwa Geneva, kabla ya kurejea New York, alikutana na KM Mstaafu Kofi Annan, ambaye alimpongeza kwa juhudi zake muhimu zilizosaidia kuleta suluhu ya kuridhisha juu ya ule mzozo ulioselelea Kenya kwa miezi miwili kufuatia uchaguzi.