UM inaadhimisha Sikukuu ya Wanawake wa Kimataifa kwa 2008
UM huadhimisha tarehe 8 Machi kila mwaka kuwa ni Siku ya Wanawake wa Kimataifa. Ilivyokuwa tarehe hiyo mwaka huu imeangukia Ijuammosi, taadhima za kuisherehekea Siku hiyo zilifanyika Makao Makuu Alkhamisi ya tarehe 06 Machi kabla ya mwisho wa wiki kuwasili.
Sikiliza ripoti kamili kwenye idhaa ya mtandao.