Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Operesheni za WFP Darfur zapwelewa kwa sababu ya uharamia

Operesheni za WFP Darfur zapwelewa kwa sababu ya uharamia

Shirika la la UM juu ya Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limeripoti kuwa linakabiliwa na tatizo ambalo “halijawahi kutokea hapo kabla” wakati linapoendeleza operesheni zake za kugawa misaada ya kihali kwa watu milioni 2 wanaohitajia chakula ambao huishi katika Darfur, Sudan.

Sikiliza taarifa kamili kwenye idhaa ya mtandao.