Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mataifa yenye watu wingi duniani yanazingatia elimu ya msingi kwa wote

Mataifa yenye watu wingi duniani yanazingatia elimu ya msingi kwa wote

Mawaziri na wataalamu wa elimu kutoka nchi tisa zenye kujumuisha nusu ya umma wa ulimwengu, yakiwemo Bangladesh, Brazil, Uchina, Misri, Bara Hindi, Mexico, Nigeria na pia Pakistan yanakutana wiki hii Bali, Indonesia chini ya uongozi wa Shirika la UM juu ya Maendeleo ya Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) kupanga miradi itakayoyawezesha kuharakisha lengo la kuwapatia watoto wote elimu ya msingi kwenye maeneo yao.