Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Pande zinazohasimiana Darfur zaharamisha haki za binadamu dhidi ya raia

Pande zinazohasimiana Darfur zaharamisha haki za binadamu dhidi ya raia

Mkariri Maalumu wa Baraza la UM juu ya Utekelezaji wa Haki za Binadamu kwa Sudan, Sima Samar, baada ya kumaliza ziara ya siku 13 nchini humo ametoa ripoti yenye kuonesha “kushtushwa sana” kwa kuendelea kuharibika kwa hali ya utulivu katika eneo la Darfur Magharibi baada ya kufumka mapigano huko katika siku za karibuni.