Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Walinzi wa amani 700 ziada kuhamishwa Eritrea

Walinzi wa amani 700 ziada kuhamishwa Eritrea

Walinzi wa amani 397 kutoka Jordan pamoja na askari 305 wa Bara Hindi waliokuwa wakitumikia Shirika la Ulinzi wa Amani Mipakani Ethiopia/Eritrea (UNMEE) wiki hii wamerejeshwa makwao, kwa muda, baada ya Serikali ya Eritrea kuinyima UM nishati ya mafuta yanayotakikana kuendeleza shughuli zake mipakani.

jimbo la Ituri.