Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vurugu la machafuko Kenya latathminiwa na Baraza la Haki za Binadamu

Vurugu la machafuko Kenya latathminiwa na Baraza la Haki za Binadamu

Francis Deng, Mshauri Maalumu wa Katibu Mkuu juu ya Uzuiaji wa Mauaji ya Halaiki aliyewasilisha ripoti maalumu Ijumatatu mbele ya Baraza la Haki za Binadamu mjini Geneva iliotathminia shughuli za ofisi yake. Deng alisailia juu ya juhudi za jumuiya ya kimataifa za kuhakikisha migogoro ikizuka kutachukuliwa hatua za dharura kuidhibiti mizozo hiyo mapema, na pia kujaribu kubashiria udhibiti bora wa dalili zote ambazo huenda zikachochea maangamizi ya halaiki. Kwenye ripoti Deng alitoa mfano namna mapendekezo haya yalivyotekelezwa nchini karibuni, kufuatia matokeo ya uchaguzi mnamo mwisho wa mwaka uliopita.

Sikiliza ripoti kamili kwenye idhaa ya mtandao.