Hali Usomali inajadiliwa na Baraza la Usalama
Baraza la Usalama leo linajadilia suala la Usomali kwa kusikiliza ripoti ya Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu kwa Usomali, Ahmedou Ould-Abdallah kuhusu maendeleo yaliopatikana katika wiki za karibuni katika kurudisha usalama, amani na upatanishi miongoni mwa yale makundi yanayohasimiana.