Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Makao Makuu yawakumbuka na kuwaheshimu waathiriwa wa utumwa

Makao Makuu yawakumbuka na kuwaheshimu waathiriwa wa utumwa

Kuanzia Ijumanne ya leo, tarehe 25 Machi, UM umeanzisha taadhima za karibu wiki moja za kuwakumbuka waathiriwa wa janga la utumwa pamoja na kuadhimisha siku Biashara ya Utumwa kwenye ngambo ya Bahari ya Atlantiki ilipositishwa na Marekani miaka mia mbili iliopita.