27 Machi 2008
Kamati ya Kutathminia Amani Cote d’Ivoire imeidhinisha mapendekezo ya Mjumbe Maalumu wa KM kwa taifa hilo, Choi Young-Jin baada ya kufanyika mashauriano wiki hii na makundi husika katika mji mkuu wa Ouagadougou, Burkina Faso.
Kamati ya Kutathminia Amani Cote d’Ivoire imeidhinisha mapendekezo ya Mjumbe Maalumu wa KM kwa taifa hilo, Choi Young-Jin baada ya kufanyika mashauriano wiki hii na makundi husika katika mji mkuu wa Ouagadougou, Burkina Faso.