Mfumo wa uchaguzi Cote d'Ivoire uliopendekezwa na UM wakubaliwa na makundi husika
Kamati ya Kutathminia Amani Cote d’Ivoire imeidhinisha mapendekezo ya Mjumbe Maalumu wa KM kwa taifa hilo, Choi Young-Jin baada ya kufanyika mashauriano wiki hii na makundi husika katika mji mkuu wa Ouagadougou, Burkina Faso.