Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wahamiaji wa Usomali waomba hifadhi katika mataifa jirani

Wahamiaji wa Usomali waomba hifadhi katika mataifa jirani

UNHCR imeripoti kwamba kuanzia 2008 walirajisisha raia 15,000 wa kutoka Usomali ambao waliomba kupatiwa mahali pa hifadhi katika mataifa jirani ya Kenya, Djibouti, Ethiopia na Sudan mashariki.