Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uharibifu wa mazingira unachochea maangamizi ya mikoko duniani

Uharibifu wa mazingira unachochea maangamizi ya mikoko duniani

Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) limeripoti kwamba baina ya miaka 1980 hadi 2005 asilimia 20 ya mikoko imeangamizwa duniani kutokana na uharibifu wa mazingira na pia kuzorota kwa uchumi, hasa katika nchi ziliopo Amerika ya Kati na Kaskazini na barani Afrika.