Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

'Wahamiaji wanaorejea JKK kutoka Tanzania wamefikia 50,000': UNHCR

'Wahamiaji wanaorejea JKK kutoka Tanzania wamefikia 50,000': UNHCR

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti kwamba wahamiaji 184 waliorejeshwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo kutokea Tanzania hivi majuzi, wamejumuisha wahamiaji 50,000 – fungu ambalo liliamua kurejeshwa makwao kwa hiyari.