Baraza la Usalama kusikia fafanuzi za KM juu ya hali Kenya
Ijumanne, KM wa UM Ban Ki-moon aliripoti mbele ya Baraza la Usalama juu ya ziara aliyofanya majuzi Afrika ambapo alizungumzia misukosuko na vurugu liliofumka barani humo, hususan katika Chad na Kenya, na kushauriana juu ya namna ya kukidhi mahitaji ya msingi kwa waathiriwa wa vurugu.~~
Sikiliza maelezo kwenye idhaa ya mtandao.