Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vifo vya saratani vinaendelea kuangamiza umma, vyatakiwa kudhibitiwa kimataifa: WHO

Vifo vya saratani vinaendelea kuangamiza umma, vyatakiwa kudhibitiwa kimataifa: WHO

Ripoti mpya iliyowasilishwa na Dktr Margaret Chang, Mkurugenzi Mkuu wa Shrika la Afya Duniani (WHO) ilihadharisha kwamba licha ya kuwa kasi imezidi kimataifa kwenye juhudi za kudhibiti matumizi ya tumbaku, bado anaamini huduma hizi ni haba na haziridhishi. Alisisitiza ya kuwa kunahitajika msukumo ziada wa kadhia hiyo katika Mataifa yote Wanachama.~

Tarehe 04 Februari imewekwa kando na UM kuwa ni Siku ya Kukumbushana juu ya Janga la Saratani Duniani.

Sikiliza kwenye idhaa ya mtandao uchambuzi wa mtaalamu wa WHO kuhusu tatizo la saratani na tumbaku.