15 Februari 2008
Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) imedhihirisha kwamba watu milioni 2 katika Usomali wanahitajia kufadhiliwa haraka misaada ya kiutu kutoka wahisani wa kimataifa ili kunusuru maisha.
Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) imedhihirisha kwamba watu milioni 2 katika Usomali wanahitajia kufadhiliwa haraka misaada ya kiutu kutoka wahisani wa kimataifa ili kunusuru maisha.