19 Februari 2008
KM wa UM, Ban Ki-moon ametangaza kuwa ana matumaini ya kutia moyo kutokana na maendeleo yaliojiri karibuni kwenye zile juhudi za kuleta suluhu ya kuridhisha, juu ya mzozo wa kisiasa ulioivaa Kenya.
KM wa UM, Ban Ki-moon ametangaza kuwa ana matumaini ya kutia moyo kutokana na maendeleo yaliojiri karibuni kwenye zile juhudi za kuleta suluhu ya kuridhisha, juu ya mzozo wa kisiasa ulioivaa Kenya.