Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM ana matumaini ya kutia moyo juu ya mzozo wa Kenya

KM ana matumaini ya kutia moyo juu ya mzozo wa Kenya

KM wa UM, Ban Ki-moon ametangaza kuwa ana matumaini ya kutia moyo kutokana na maendeleo yaliojiri karibuni kwenye zile juhudi za kuleta suluhu ya kuridhisha, juu ya mzozo wa kisiasa ulioivaa Kenya.