Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM wazuiliwa kuhudumia wahajiri wa Darfur walioingia Chad mashariki

UM wazuiliwa kuhudumia wahajiri wa Darfur walioingia Chad mashariki

Mnamo wiki iliopita wahajiri 8,000 ziada wa kutoka jimbo la Darfur Magharibi linalopakana na taifa jirani la Chad, walivuka mpaka kunusuru maisha baada ya kutukia mashambulio ya ndege kwenye maeneo yao.