Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baraza la Usalama kujadili hali katika Usomali

Baraza la Usalama kujadili hali katika Usomali

Ijumatano Baraza la Usalama litazingatia hali katika Usomali na huenda likapitisha azimio juu ya vikosi vya ulinzi wa amani vya Umoja wa Afrika (UA).