Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkutano wa kudhibiti athari za mabadiliko ya hali ya hewa kufunguliwa Monaco

Mkutano wa kudhibiti athari za mabadiliko ya hali ya hewa kufunguliwa Monaco

Kikao maalumu cha Shirika la UM juu ya Hifadhi ya Mazingira (UNEP) kinafanyika sasa hivi Monaco kuzingatia sera mpya za kudhibiti bora mazingira kutokana na uharibifu unaochochewa na mabadiliko ya hali ya hewa duniani. Mawaziri wa mazingira kutoka Mataifa Wanachama 100 ziada wanahudhuria mkutano.