El Geneina kupokea Wadarfuri waliokosa makazi
UNHCR imeripoti ya kuwa karibuni kumefunguliwa kambi mpya nje ya El Geneina, Darfur Magharibi zilizoandaliwa kupokea wahamiaji wa ndani ya nchi (IDPs) 6,000 waliohajiri makwao baada ya uhasama kufumka tena kwenye eneo lao.