Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Chad asailia hali nchini

Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Chad asailia hali nchini

Waziri wa Mambo ya Nje wa Chad, Ahmad Allam-Mi Ijumanne alasiri alizungumza na waandishi habari waliopo Makao Makuu, baada ya kuhutubia kikao kisichokuwa rasmi cha Baraza la Usalama, kilichojadilia hali, kwa ujumla, nchini kwao.