Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Chad asailia hali nchini
Waziri wa Mambo ya Nje wa Chad, Ahmad Allam-Mi Ijumanne alasiri alizungumza na waandishi habari waliopo Makao Makuu, baada ya kuhutubia kikao kisichokuwa rasmi cha Baraza la Usalama, kilichojadilia hali, kwa ujumla, nchini kwao.