Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Fafanuzi za Mjumbe wa Tanzania juu ya kikao cha Kamisheni ya CSW

Fafanuzi za Mjumbe wa Tanzania juu ya kikao cha Kamisheni ya CSW

Kamisheni ya UM juu ya Haki za Wanawake, au Kamisheni ya CSW ilifungua rasmi kikao cha mwaka, cha 52, mnamo Ijumatatu ya tarehe 25 Februari, kuzingatia masuala kadha kuhusu hadhi ya wanawake duniani, kufuatia mapendekezo yaliotolewa kwenye Mkutano wa Kimataifa wa Beijing juu ya Wanawake, pamoja na yale maazimio ya kikao maalumu cha 23 cha Baraza Kuu la UM juu ya usawa wa kijinsiya na maendeleo ya wanawake kwa karne ya ishirini na moja.

Sikiliza dokezo ya mahojiano hayo kwenye idhaa ya mtandao.