Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM yahudumia misaada ya kiutu kwa waathiriwa wa mafuriko kusini ya Afrika

UM yahudumia misaada ya kiutu kwa waathiriwa wa mafuriko kusini ya Afrika

Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) ikishirikiana na jumuiya zisio za kiserekali imo mbioni kuhudumia mataifa ya kusini ya Afrika kupata misaada ya kihali kuwavua makumi elfu ya raia katika Msumbiji, Zambia na Zimbabwe na hatari iliozuka karibuni katika eneo lao, baada ya mvua kali kunyesha nje ya majira ya kawaida na kusababisha Mto Zambezi kufura kwa kasi na kueneza mafuriko.