Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wajumbe elfu moja ziada wanahudhuria mkutano wa kurudisha amani Kivu

Wajumbe elfu moja ziada wanahudhuria mkutano wa kurudisha amani Kivu

Mkutano uliodhaminiwa na UM kuzingatia uwezo wa kuudisha usalama, amani na maendeleo katika jimbo la mashariki la Kivu, kwenye Jamhuri ya Kideomkrasi ya Kongo (JKK) ulifungua mijadala yake mwanzo wa wiki mjini Goma, na mazungumzo haya yataendelea mpaka tarehe 17 Januari 2008.