Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Operesheni za UNOCI zaongezewa miezi sita Cote d'Ivoire

Operesheni za UNOCI zaongezewa miezi sita Cote d'Ivoire

Baraza la Usalama limepitisha kwa kauli moja azimio la kuidhinisha operesheni za ulinzi wa amani ziendelezwe kwa miezi sita zaidi hadi 30 Julai katika Cote d\'Ivoire, huduma ambazo husimamiwa na kuongozwa na shirika la UM la UNOCI pamoja na wanajeshi wa Ufaransa. , ongeza kwa miezi sita muda wa operesheni za ulinzi wa amani za Shirika la UM la UNOCI katika Cote d’Ivoire.