Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM wahudumia juhudi kinga dhidi ya gharika Msumbiji

UM wahudumia juhudi kinga dhidi ya gharika Msumbiji

Timu ya Wafanyakazi Wakazi wa UM Wanaohudumia Misaada ya Kiutu wameripotiwa kushiriki kikamilifu hivi sasa kwenye operesheni za kuisaidia serikali ya kijiji katika Caia, nchini Msumbiji kudhibiti bora huduma za dharura, baada ya kuzuka maafa yaliotokana na mafuriko ambayo huhatarisha zaidi hali za wale wakazi wanaoishi kwenye maeneo yaliopo karibu na Mto Zambezi.