18 Januari 2008
David Veness, Mshauri Mkuu anayehusika na Masuala ya Ulinzi na Usalama katika UM aliripotiwa kumkabidhi KM Ban Ki-moon ripoti ya utangulizi kuhusu sababu zilizochochea shambulio la ugaidi kwenye ofisi za UM ziliopo Algiers, Algeria, ajali ambayo ilijiri mwezi uliopita.