Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ofisa wa Habari wa UNMIS asailia mpango wa amani kwa Darfur

Ofisa wa Habari wa UNMIS asailia mpango wa amani kwa Darfur

Jumbe Omari Jumbe, Ofisa wa Habari wa Shirika la UM juu ya Ulinzi wa Aamani Sudan (UNMIS) anatuchambulia fafanuzi zake kuhusu juhudi za wapatanishi wa kimataifa juu ya Darfur, yaani Jan Eliasson wa Umoja wa Mataifa na Salim Ahmed Salim akiwakilisha Umoja wa Afrika. Wapatanishi Eliasson na Salim walikuwepo Sudan wiki hii kujaribu kufufua tena mazungumzo ya kusuluhisha mzozo wa Darfur kwa ridhaa ya makundi yote husika.~~Sikiliza idhaa ya mtandao kwa mahojiano kamili na Jumbe.