Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM ametangaza kumteua raia wa Mali kuwa Mshauri Maalumu kwa Afrika

KM ametangaza kumteua raia wa Mali kuwa Mshauri Maalumu kwa Afrika

Cheikh Sidi Diarra wa Mali ameteuliwa na KM Ban Ki-moon kuwa Mshauri mpya Maalumu kuhusu Masuala ya Afrika, na pia kuchukua wadhifa wa Mwakilishi Mkuu wa Nchi Masikini, Nchi Zisio Bandari pamoja na Nchi za Visiwa Vidogo Vidogo.