Mwafaka wa amani Kivu unaungwa mkono na KM
KM wa UM amepongeza mwafaka uliopatikana majuzi kwenye Mkutano wa Amani, Usalama na Maendeleo kwa Kivu baada ya majadiliano ya karibu wiki mbili yaliofanyika kwenye mji wa Goma, katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (JKK).