Mahojiano na Armando Swenya wa SAHRiNGON, Tanzania
Armando Swenya anfanya kazi na shirika la SAHRiNGON, kumaanisha \'Southern Africa Human Rights and Geonetwork, Tanzania Chapter\' au kwa Kiswahili ni Shirika la Mtandao wa Mashirika ya Haki za Binadamu, kusini mwa Africa, Tawi la Tanzania. Kwenye mahojiano yafuatayo anazumgumzia namna shirika lao linavyohudumia na kuelimisha umma juu ya haki za binadamu. ~