Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baraza la Usalama kujadidisha vikwazo dhidi ya Liberia

Baraza la Usalama kujadidisha vikwazo dhidi ya Liberia

Baraza la Usalama limepitisha azimio nambari 1792 ambalo limependekeza vikwazo vya silaha, na usafiri dhidi ya baadhi ya viongozi katika Liberia, viendelezwe kwa miezi 12 zaidi.