21 Disemba 2007
Baraza la Usalama limepitisha azimio nambari 1792 ambalo limependekeza vikwazo vya silaha, na usafiri dhidi ya baadhi ya viongozi katika Liberia, viendelezwe kwa miezi 12 zaidi.
Baraza la Usalama limepitisha azimio nambari 1792 ambalo limependekeza vikwazo vya silaha, na usafiri dhidi ya baadhi ya viongozi katika Liberia, viendelezwe kwa miezi 12 zaidi.