21 Disemba 2007
Baraza la Usalama limepitisha azimio la kuongeza muda wa kazi za Ofisi ya UM inayosimamia ufufuaji wa shughuli za maendeleo katika Burundi (BINUB) hadi tarehe 31 Disemba 2008.
Baraza la Usalama limepitisha azimio la kuongeza muda wa kazi za Ofisi ya UM inayosimamia ufufuaji wa shughuli za maendeleo katika Burundi (BINUB) hadi tarehe 31 Disemba 2008.