Skip to main content

Baraza la Usalama laongeza madaraka ya shirika la BINUB Burundi

Baraza la Usalama laongeza madaraka ya shirika la BINUB Burundi

Baraza la Usalama limepitisha azimio la kuongeza muda wa kazi za Ofisi ya UM inayosimamia ufufuaji wa shughuli za maendeleo katika Burundi (BINUB) hadi tarehe 31 Disemba 2008.